1. UKARABATI WA MSIKITI WA KIJIJI CHA MBAE
· Mr. Dadi Hamisi – Mwenyekiti wa msikiti
· Shafii Ally Mmedi – Imamu Mkuu
· Shaibu Dadi Hassan – Imamu Msaidizi
· Mr. Salum Abdallah Lingondo – Mzee wa msikiti
· Mr. Ahmad Ahmad – Mzee wa msikiti
· Ismail Ahmad Ponda – Muumini
· Mohamed Salum Lingondo – Muumini
· Hassani Silim Mtondo – Muumini
· Mr Mtiko – Msimamizi wa ujenzi na ukarabati wa msikiti.
Katika kudhibitisha ukarabati huo, wakazi na waumini wa Msikiti huo wa Mbae walishukuru kwa hatua mzuri ya ukarabati wa msikiti huo. Pia walimshukuru Mbunge wa Manispaa ya Mtwara – Mikindani Mheshimiwa Murji kwa kutimiza ahadi alizoahidi wakazi wa kijiji hicho.
GHARAMA ZILIZOTUMIKA KATIKA UJENZI NA UKARABARI WA MSIKITI
Jumla ya Tsh10,000,000/=. zimetumika katika ukarabati wa msikiti huo ambao umehusisha msikiti wenyewe, madrasa na vyoo.
hongera kwa yote ila usije ukapumzika bado wana mtwara wana matatizo mengi ambayo yanataka ufumbuzi lakini nakutakia mafanikio mema katika shughuli yako ya ubunge ni mimi mwana mtwara.
ReplyDelete